Saturday, March 16, 2013

HEBU ANGALIA WASANII TUNAOWAITA KIOO CHA JAMII


Kuna msemo unasema wasanii kioo cha jamii je ni kweli?hili ni kava linalobeba kazi za wasanii kwa hali kama hii bado tunadhubutu kusema wasanii ni kioo cha jamii? Mimi naona waitwe waharibifu wa jamii kwa halii hii. Hapa watoto wanajifunza nini kwa kweli?

MWANA FA AITAKA SERIKALI IRUDISHE MFUMO WA ANALOGIA

faaa

Rapper Hamis Mwinjuma aka Mwana FA ambaye March 13 mwaka huu alisherehekea siku yake ya kuzaliwa, ameiomba serikali kuwafikiria mara mbili mbili wasanii na kuachia mifumo yote miwili ya digitali na analojia kwakuwa mfumo wa digitali unawaumiza.

Akiongea na gazeti la Habari Leo, FA amesema kwa sasa wasanii nchini wanaumizwa na mfumo wa digitali kwakuwa wamekuwa wakitumia fedha nyingi katika kutengeneza video, lakini zinaishia kutazamwa na watu wachache tu wenye ving’amuzi.

“Waachie mifumo yote kwani kila mtu atakuwa na uamuzi wa kufanya, kutokana na ubora wa kazi,” alisema Mwana FA.

Alisisitiza kuwa huenda akasubiri hata miezi miwili na zaidi, kama serikali itakubali kuachia mifumo yote miwili wa digitali na analojia, na kama hawatotaka, basi ataachia hivyo hivyo kwa kuwa hawezi kukaa nayo ndani.

BAADA ya UKIMNYA KWA MDA MREFU HATIMAYE AGNESS MASOGANGE ATUPIA PICHA ZAKE INSTAGRAM.AMEPENDEZAJEE


CHECK OUT ALICHOKISEMA LULU KUHUSU MAREHEMU STEVEN CHARLES KANUMBA.

Leo kutoka akaunti ya Twitter ya  msanii wa filamu(Boongomovie) amefunguka na juu ya aliyekuwa mpenzi wake marehemu Steven Charles Kanumba ambae kifo cha mraehemu kilichosababisha yeye kuingia gerezani  sasa hiki ndicho alicho kiandika kupitia ukurasa wake huo wa mtandao wa kijamiaa Twitter 


BASI LA NDENJELA LAUNGUA MOTO LIKIWA SAFARINI MAENEO YA KIBAHA LEO HII


Basi la Ndenjela likiwa linatoka Dar kuelekea Mbeya limeteketea kwa moto Kibaha Kongowe asubuhi ya leo. Abiria wote wamenusurika janga hilo.MIZIGO IMTEKETEA KATIKA JANGA HILO

MASTAA WAANDAA MKESHA KUMUOMBEA KAJALA

Stori: Sifael Paul
ZIkiwa zimebaki siku 8 tu kabla ya hukumu ya staa wa filamu za Kibongo, Kajala Masanja kusomwa Machi 25, mwaka huu, inasemekana kuwa baadhi ya mastaa wa filamu na muziki Bongo, wameandaa mkesha wa kumuombea ili hukumu hiyo iende vizuri na aachiwe  huru arudi uraiani.
Kajala anakabiliwa na kesi ya kutakatisha fedha haramu kwa kuuza nyumba iliyokuwa imewekwa kizuizini na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), kwa kushirikiana na mumewe, Faraji Agustino.
Kwa mujibu wa mwigizaji mmoja maarufu wa kiume, tayari ujumbe mfupi wa maandishi (SMS) na ujumbe kupitia mitandao ya kijamii umeanza kusambazwa kwa baadhi ya mastaa hao ambao kila mmoja anaonesha kuwa tayari kwa ishu hiyo ya kumuomba Mungu amsaidie Kajala.



Mwigizaji huyo ambaye hakupenda jina lake lichorwe gazetini, alidadavua kuwa wanachotafuta kwa sasa ni mahali au nyumba ya ibada kwa ajili ya kufunga na kumwombea Kajala kuanzia saa 2:00 usiku hadi asubuhi.
“Mwanzoni ilikuwa ni kuhamasishana tu kumkumbuka Kajala katika sala zetu za kila siku kama ilivyokuwa kwa Lulu (Elizabeth Michael), lakini sasa tumeona ni vema tukakutana kwa pamoja tumlilie Mungu ili hukumu yake imuendee vizuri,” alisema mwigizaji huyo na kuongeza:

“Yah! Kajala anatia huruma sana ndiyo maana kuna wasanii ambao ni watu wa karibu yake, wapo tayari kwa ajili ya mkesha wa maombi kama (Jacqueline) Wolper, Irene Uwoya, Patcho Mwamba, JB (Steven Jacob), Ray (Vincent Kigosi), Richie (Single Mtambalike), Dude (Kulwa Kikumba) na wengine wengi.”

Katika kesi hiyo iliyopo Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar, Kajala amesota Segerea kwa takribani mwaka mmoja ambapo sasa hatma yake itajulikana tarehe tajwa hapo juu. 

CHUCHU HANS: NIMEANZA KUIGIZA TANGU NIKIWA MDOGO

Tangu akiwa mdogo alikuwa anaigiza na kufanya umiss wakati alipokuwa shuleni mkoani Tanga. Chuchu who has acted in many films including Lose Control, Hit Back and Tone la Damu. 

 Mshindi huyo wa taji la Miss Tanzania talent in 2005.Kiukweli mimi toka utotoni nilikuwa na kipaji cha u-miss na kuigiza  nimeanza tangia shule Tanga nilikuwa naigiza maigizo na nafanya fashion shows so naamini nilikuwa na talent that's y nilivyoingia miss Tanzania pia niliweza kutwaa taji la Miss Tanzania Talent Tanzania 2005" . Some of  her upcoming films include Mimba by Chekibud, Safari produced by Rich and her own film Raula.

US Hip Hop Rapper Lil Wayne is Recovering After Seizures.

The hip hop star tweets that he is “good” after suffering a reported seizure that led to claims he was in a coma and near death.
Grammy-winning hip hop star Lil Wayne has said he is recovering and has thanked fans for their concern after he suffered a reported seizure.
 One of the Celebrity news website claimed the star was in critical condition in Los Angeles after being admitted to hospital twice this week.
 In a message from his official Twitter account Lil Wayne said: “I’m good everybody. Thx for the prayers and love.”
 The 30-year-old rapper, who has a history of seizures, was first rushed to Cedars Sinai hospital on Tuesday after suffering multiple episodes, it said.
 He left the following day but was re-admitted hours later.
 His spokeswoman Sarah Cunningham said in an email that “Lil Wayne is recovering,” but did not specify what he was suffering from.
In October last year, the star, who won four Grammy awards in 2008 including best rap song and best rap album, reportedly suffered a number of seizures while on his private jet.

Wazimbabwe wanapiga kura ya maoni leo huku wanachama wa upinzani wakidaiwa kushambuliwa.

Wananchi wa Zimbabwe leo wanapiga kura ya maoni kuhusu katiba mpya ambayo itaweka kikomo cha muhula wa urais na kuongeza uhuru wa vyombo vya habari. 
Hata hivyo, wasiwasi umeongezeka baada ya wanachama kadhaa wa chama cha upinzani cha Waziri Mkuu Morgan Tsvangirai kushambuliwa wakati wakifanya kampeni katika kitongoji cha Mbare kwenye mji mkuu Harare, hapo jana.
Msemaji wa chama hicho cha Movement for Democratic Change-MDC, Douglas Mwonzora, amewashutumu wafuasi wa Rais Robert Mugabe kuhusika na tukio hilo.
Katiba hiyo mpya itadhibiti mamlaka ya Rais Mugabe na kuweka misingi ya kufanyika kwa uchaguzi mwezi Julai, mwaka huu.
Uchaguzi huo utahitimisha makubaliano yaliyokumbwa na matatizo ya kugawana madaraka kati ya Rais Mugabe na Waziri Mkuu Tsvangirai.-DW.

MNYIKA::Tutaandamana kudai maji

MBUNGE wa Ubungo John Mnyika leo ataongoza maandamano ya amani kwenda Wizara ya Maji kupata majibu kuhusu matatizo ya maji, licha ya kuzuiwa na Jeshi la Polisi. 
Kamanda wa Polisi Wilaya ya Kinondoni, ACP Charles Kenyela amekataza maandamano na mkutano huo kwa madai kuwa eneo la Manzese Bakhresa walilopanga kufanyia mkutano ni maegesho ya magari ya mizigo. 
Akizungumza kwa niaba ya Mnyika, mratibu wa maandamano hayo kutoka ofisi ya mbunge, Gaston Garubindi, alisema kuwa maandalizi yamekamilika na mbunge huyo ataongoza kama ilivyopangwa. 
Garubindi alisema kuwa Kenyela amewadanganya wananchi kwa kueleza kuwa Waziri wa Maji, Profesa Jumanne Maghembe hakuwa na taarifa wakati ofisi ya mbunge ilimwandikia barua yenye kumbukumbu namba OMU/MJ/001/2013 na nakala nyingine kupelekwa kwa viongozi wengine wa wizara hiyo.

Pro

PropellerAds

LinkWithin

Soma na Hizi Pia Plugin for WordPress, Blogger...