Sunday, December 08, 2013

WANACHAMA WA CHADEMA, KIGOMA .... WACHOMA MOTO BENDERA NA KADI ZAO ILI KUFIKISHA UJUMBE KWA MBOWE NA SLAA



TAFADHARI USISAHAU KU LIKE PAGE YETU YA FACEBOOK UPANDE WA KULIA
Chadema chama kilichojengwa kwa NGUVU kubwa ya propaganda ya vyombo vya habari vya IPP kwa ushilikiano mzuri wa baadhi ya magazeti, Sasa kimebaki HISTORIA mkoani KIGOMA, bendera kadi,zinachomwa MOTO hadharani vijiwe ofisi zinabomolea,Mandamano makubwa kufanyika MWANZA J'pili SINGIDA nao wajianda pengine ni nchi nzima,                              R I P chama cha Kaskazini Chadema

Wanachama na wafuasi wa Chadema wakiandamana katika mitaa mbalimbali ya Kigoma ili kupinga ziara ya Katibu Mkuu wa Chadema Dk. Slaa mkoani humo pamoja na kupinga maamuzi yanayofanywa na Kamati kuu ya Chadema.

No comments:

Pro

PropellerAds

LinkWithin

Soma na Hizi Pia Plugin for WordPress, Blogger...