Thursday, October 27, 2016

SERIKALI YATANGAZA MATOKEO YA DARASA LA SABA 2016

Serikali imetangaza matokeo ya mtihani wa darasa la 7 kwa mwaka 2016 ambapo ufaulu umeongezeka kwa asilimia 2.52 na shule iliyoongoza kitaifa ni shule ya Msingi Kwema ya mkoani Shinyanga. 

Mtihani huu ulifanyika tarehe 7 na 8 mwezi Septemba mwaka huu. Kutazama matokeo hayo bofya hapa.

Wednesday, October 26, 2016

MAGAZETI YA LEO JUMATANO OCTOBA 26, 2016 YA UDAKU, MICHEZO NA HARD NEWS

20161026_041718
20161026_041734
20161026_041746

Tangaza biashara yako hapa. Pia like page yetu ya facebook Jambo Tz. tu-follow instagram @jambotz.

MPIGIE KURA RAIS MAGUFULI ASHINDE TUZO ZA MTU MASHUHURI ZA FORBES

Rais John Magufuli ni miongoni mwa watu mashuhuri barani Africa waliopendekezwa kuwania tuzo ya FORBES AFRICA PERSON OF THE YEAR 2016.

Mpaka sasa rais Magufuli anaongoza kwa 80% ya kura zote zilizopigwa. Unaweza kumpigia kura yako hapa.

Share na wenzio.

Pro

PropellerAds

LinkWithin

Soma na Hizi Pia Plugin for WordPress, Blogger...