Polisi wa Ukraine wanasema kuwa
zaidi watu 30 wameuawa katika moto ulioanza baada ya makabiliano kati ya
vikosi vya wanamgambo wanaounga mkono Urusi na wafuasi wa serikali
katika mji wa kusini magharibi wa Odessa.
Haijulikani ni nini kilichosababisha moto huo
katika jengo la chama cha wafanyikazi ,huku ripoti zikiarifu kwamba
pande zote mbili zilikuwa zikitumia mabomu ya petroli."Waziri wa mpito wa Mambo ya Ndani nchini Ukraine Arsen Avakov amesema kuwa harakati za serikali kudhibiti mji wa mashariki wa Sloviansk uliopo mashriki mwa Ukraine zinaendelea na kwamba vikosi vyake vimeliteka jengo la Televisheni karibu na Kromartosk." Tafadhari Like Ukurasa Wetu Wa Facebook Kwa Kubofya/ Click Neno Jambo Tz