Spika wa Bunge la Uganda Bi Rebecca Kadaga awashauri wanaume kutowaoa wanawake waliokeketwa.
Spika
wa Bunge la Uganda Bi Rebecca Kadaga amewashauri wanaume kutowaoa
wanawake waliokeketwa akiwataja kuwa mzigo ambao hauwezi kuijenga jamii.
Kulingana
na gazeti la daily Monitor,Spika Kadaga alitoa wito huo wakati wa
sherehe ya kitamaduni ambayo inapinga ukeketaji ilioandaliwa na mfuko wa
umoja wa mataifa unaosimamia idadi ya watu na wahisani wengine. Asante
kwa kutembelea blog hii na endelea kuwa nasi siku zote, kuwa wa kwanza
kupata habari zetu kwa ku-Like page yetu ya facebook kwa ku-click/ bofya
neno Jambo Tz