Diamond akiwa na tuzo.
MSANII
Naseeb Abdul 'Diamond Platumz' ametwaa tuzo tatu za Channel O usiku wa
kuamlia leo nchini Afrika Kusini. Tuzo hizo ni; Most Gifted new comer,
Most Gifted Afropop na Most Gifted East kupitia wimbo wake wa Number
One! Asante
kwa kutembelea blog hii na endelea kuwa nasi siku zote, kuwa wa kwanza
kupata habari zetu kwa ku-Like page yetu ya facebook kwa ku-click/ bofya
neno Jambo Tz
Vijana
wa Bodaboda wakiongoza msafara wa Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman
Kinana wakati akiwasili Mtwara mjini ambapo alishiriki shughuli mbali
mbali za kujenga na kuimarisha chama pamoja na kukagua utekelezaji wa
ilani ya uchaguzi ya CCM 2010.
Msafara wa Katibu Mkuu ukielekea Mtwara mjini.
Katibu
Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia wakazi wa Mikindani
mara baada ya kukabidhi leseni kwa madereva 70 wa boda boda waliohitimu
mafunzo chini ya udhamini wa Mbunge wa Mtwara mjini Hasnain Murji.
Wananchi wa Mikindani mkoani Mtwara wakimsikiliza Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana . Asante
kwa kutembelea blog hii na endelea kuwa nasi siku zote, kuwa wa kwanza
kupata habari zetu kwa ku-Like page yetu ya facebook kwa ku-click/ bofya
neno Jambo Tz