Mama
mwenye watoto watatu anapata matibabu hospitalini nchini Malaysia baada
ya mumewe kuvamia mikono yake na miguu nakumcharanga kwa shoka la
kucharangia nyama,na baadaye mwanamume huyo kujinyonga .
Mama huyo
anatajwa kama K Menaga,amelazwa katika chumba cha wagonjwa mahututi
katika hospitali ya Kluang upande wa kusini mwa jimbo la Johor baada ya
shambulio hilo hatari lililotokea mapema mwezi huu.Ingawa taarifa kutoka hospitalini hapo zinaarifu kuwa mama huyo ameshatolewa katika chumba cha wagonjwa mahututi baada ya hali yake kuendelea vyema,na amelazwa katika wodi ya wagonjwa wa kawaida.
Asante kwa kutembelea blog hii ya Jambo Tz, ili kuboresha blog yetu tunatoa fulsa ya kutangaza matangazo mbalimbali na pia kutoa maoni yako kupitia namba ya simu (WhatsApp & SMS) 0715 221198, E-mail jambotz8@gmail.com. Merry Chistmass & Happy New Year.









