Baada ya kuonesha vitu adimu ambavyo havikuoneshwa na staa yeyote kati ya waliomtangulia, wageni waalikwa walishangilia na kupiga makofi hadi aliporejea sehemu aliyokaa awali.
Thursday, April 04, 2013
MAUNO YA WOLPER YAWACHENGUA WATU UKUMBINI
Baada ya kuonesha vitu adimu ambavyo havikuoneshwa na staa yeyote kati ya waliomtangulia, wageni waalikwa walishangilia na kupiga makofi hadi aliporejea sehemu aliyokaa awali.
RAY ASALIMU AMRI JUU YA FILAMU YAKE INAYO SHUTUMIWA KUUDHALILISHA UKATOLIKI
Cover la filamu hiyo ya Sister Marry.
HATIMA
ya filamu ya mwigizaji, Vincent Kigosi ‘Ray’, Sister Mary iliyokuwa
imezuiwa kwa kudaiwa kudhalilisha ukatoliki, imefahamika kuwa mwigizaji
huyo amesalimu amri ya viongozi wa kanisa hilo.Kanisa Katoliki nchini
linaloongozwa na Muadhama Polycarp Kadinali Pengo, liliizuia filamu hiyo
kwa kile kilichodaiwa kuwa ilikuwa ikionesha udhalilishaji kwa namna
ambavyo watawa wamevaa mavazi mafupi.
Baadhi ya vipande vilivyomo katika filamu hiyo.
Akipiga
stori na paparazi wetu, Ray amebainisha kuwa baada ya kuambiwa achomoe
vipande vingi kwenye filamu hiyo, ameona ni bora kuachana nayo kwani
hata akitoa haitaleta maana hivyo atakujairudia upya wakati mwingine. “Asilimia
85 ya filamu niliigizia kanisani na ndivyo walivyosema niviondoe, sina
ujanja kwa sasa nimeanza kushuti filamu nyingine kabisa ile labda nije
kuirudia upya hapo baadaye,” alisema Ray.
WAJUE WASANII SITA (6) WA BONGO FLEVA WENYE KUHESHIMIKA SANA TANZANIA.
1.LADY JAY DEE

Mwanadada
JIDE ama binti machozi ameweza kuongelewa sana kama msanii
anayeheshimika sana tanzania kutokana na idadi kubwa ya watu walio
hojiwa kumtaja yeye kama ndo mwana muziki mwenye kuheshimika sana
tanzania kwa upande wa muziki wa kizazi kipya
2.PROF J
3.FID, Q

Subscribe to:
Comments (Atom)


