Thursday, April 04, 2013

Polisi Wavamia Nyumba Ya Diddy

Diddy

Polisi na Helikopta mbili za polisi walivamia Nyumba ya Diddy iliyopo Los Angelos Marekani Usiku wakuakia Leo . Lakini habari zilizotoka kwenye vyomba vya usalama viliimbia TMZ kuwa tukio hilo lilikuwa la bahati mbaya
Habari zilizotoka polisi ziliwaambia TMZ kuwa Kuna Mtu alipiga simu polisi kuwa ndani nyumba ya Diddy kuna mtu anarusha risasi.
Baadae polisi na wakubwa wengine walipojua kuwa ni mchezo mwingine unaofanyiwa wasani wakubwa marekani waliamukuondoka katika tuukio hilo.

TMZ wanasema kuwa waliambiwa kuwa Tukio hilo lilikuwa limepangiwa kufanyiwa kwa muigizajiSteve Carell ambapo nyumba yake ilikuwa imezungukwa na Polisi wengi kwasababu ilikuwa karibu na nyumba ya Diddy.
Hapa ndio nje kwa Diddy

Inasemekana Diddy sio staa wa kwanza kufanyiwa tukio hilo, kuna baadhi ya mastaa walishawahi kufanyiwa hivyo kama vile nyumbani kwa wazazi wa Miley Cyrus mwaka jana Walifanyiwa kitendo hicho hicho.
Polisi wamesema kuwa matukio hayo yakutishia ya mekuwa ya kudumu na sugu sasa wamesema watamshitaki kwa sheria kali kwa yeyote atakayefanya tena tukio kama hilo.

Mauaji ya Padri: DPP, Polisi wakorogana



Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) Zanzibar, Ibrahim Mzee Ibrahim, ametupilia mbali uchunguzi wa mauaji ya Padri Evarist Mushi uliofanywa na Jeshi la Polisi kwa kushirikiana na Maafisa wa Shirika la Upelelezi la Marekani (FBI) na kusema mtuhumiwa hana kesi ya kujibu mahakamani.

Padri Mushi ambaye alikuwa Paroko wa Kanisa Katoliki Minara Miwili aliuawa kwa kupigwa risasi Febuari 17, mwaka huu katika eneo la Beitrasi mjini hapa akiwa ndani ya gari alipokuwa akielekea kuongoza misa ya Jumapili katika Kanisa la Mtakatifu Theresia, mjini Zanzibar.
Baada ya mauaji hayo, Rais Jakaya Kikwete alitoa kibali cha kukaribisha maafisa wa FBI kushirikiana na Jeshi la Polisi kufanya uchunguzi wa mauaji hayo na Machi 17, mwaka huu Jeshi la Polisi lilimkamata Omar Mussa Makame kwa tuhuma za kuhusika na mauaji hayo.

MAGAZETI YA LEO ALHAMISI TAREHE APRIL 04, 2013

.
.
.
.

Pro

PropellerAds

LinkWithin

Soma na Hizi Pia Plugin for WordPress, Blogger...