Monday, April 01, 2013

KAMANDA MPINGA MATATANI

ADAIWA KUAMURU GARI LILILOBEBA MAZAO YA MISITU LIACHIWE.

KAMANDA wa Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani nchini, Mohammed Mpinga ameingia kwenye kashfa akidaiwa kuamrisha askari wa kikosi hicho mkoani Singida kuliachia gari lililokamatwa usiku likiwa na shehena ya mazao ya misitu juzi.

Kutokana na tukio hilo, askari mwenye namba D.9523 Koplo Azizi wa kituo kidogo cha polisi Ikungi mkoani Singida ameingia matatani baada ya kulikamata gari hilo lenye namba za usajili T 271 BTR na trela namba T 686 BTX lenye urefu wa futi 40.

SIMULIZI YA ALIYENUSURIKA KIFO KUTOKA GHOROFA YA 15.


Fundi ujenzi, Yusuph Abdallah ambaye amelazwa katika Taasisi ya Mifupa (Moi), ameeleza jinsi alivyonusurika kifo baada ya jengo la ghorofa 16 kuporomoka Ijumaa iliyopita.
 

Rais Kikwete na Mkewe, Mama Salma Kikwete wakimpa pole Yusuph Abdallah katika Hospitali ya Muhimbili walipotembelea majeruhi wa ajali ya kuporomoka jengo la ghorofa 16. Picha na Muhidin Michuzi. 


FUNDI ujenzi, Yusuph Abdallah ambaye amelazwa katika Taasisi ya Mifupa (Moi), ameeleza jinsi alivyonusurika kifo baada ya jengo la ghorofa 16 kuporomoka Ijumaa iliyopita.


Yusuph aliliambia Mwananchi akiwa wodini kwamba kilichomponya ni neema za Mungu kwani kabla jengo hilo kuporomoka yeye alikuwa ghorofa ya 15 kwenye jengo hilo katika Mtaa wa Indira Gandhi akiendelea na ujenzi.

Alieleza kuwa hakuwa anafahamu kinachoendelea, bali aliona ghafla jengo linaaanza kuporomoka, na baada ya hapo hakufahamu zaidi kilichotokea hadi alipojikuta yuko hospitalini.

OBAMA AENDA KANISANI KWA MIGUU NA FAMILIA YAKE SIKU YA PASAKA, TAZAMA PICHA HAPA

Rais Barack Obama akitembea kwa miguu na Familia yake kutoka White House across Pennsylvania Ave.  hadi Lafayette Park. huku akiwa amemshikili mtoto wake wa pili Sasha mkono pamoja, Mkewe Michelle Obama  na binti yao mkubwa Malia kuelekea katika Kanisa la St. John’s Episcopal liliopo Washington, DC ambapo walihudhuria  katika Pasaka  Siku ya Jumapili Machi 31, 2013. ( Official White House Picha na Pete Souza)

Pastor at Obamas Easter Church Service: Captains of the Religious Right Want Blacks in the Back of the Bus, Women Back in the Kitchen
Rais Barack Obama na first lady Michelle Obama walipotembea kutoka White House na binti zao Sasha Obama, wa pili kutoka kushoto, na Malia Obama, kulia, wakitembea kwa miguu kupitia Lafayette Park kwenda  katika Kanisa la St. John’s Episcopal kwa ajili ya Pasaka Siku Jumapili, Machi 31, 2013, Mjini Washington. (AP)

Obama alipokua akitembea Mitaa ya Lafayette Park  hadi  St. John's Episcopal Church Siku ya Jumapili  , March 31, 2013, ndani ya Jiji la Washington. (Picha na Carolyn Kaster)
OBAMAEASTER1N_2_WEB
Obamas akitembea kupitia Lafayette Park kwenda Kanisasani  kwajili ya Pasaka.
OBAMAEASTER1N_4_WEB
Rais wa Marekani Barack Obama na familia yake walipo maliza ibada katika Kanisa la St. John’s Episcopal kwa ajili ya Pasaka Siku Jumapili, Machi 31, 2013, Mjini Washington.

Pro

PropellerAds

LinkWithin

Soma na Hizi Pia Plugin for WordPress, Blogger...