Friday, June 16, 2017

WANAFUNZI 56 WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 207 WABADILISHIWA SHULE

Taarifa kutoka ofisi ya Rais-TAMISEMI imeonyesha mabadiliko ya kuwapangia shule wanafunzi 56 waliochaguliwa kujiunga na Kidato cha Tano katika Shule ya Sekondari Madibira Tahasusi ya PCB na kuwapeleka katika shule zingine zenye tahasusi (Combination) hiyo ndani ya Mkoa wa Mbeya na Mikoa ya jirani. Mabadiliko haya ni kwa sababu maalum.

Aidha, wanafunzi wapya 56 wamechaguliwa kujiunga na kidato cha Tano katika shule ya Sekondari Madibira Tahasusi ya CBG kama inavyoonekana kwenye tovuti. Wanafunzi hawa wanapaswa kuripoti katika shule walizopangiwa tarehe 17 Julai, 2017. 
TAARIFA KWA UMMA (15-06-2017)

 Tafadhali bofya chini Kujua Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa na Waliobadilishwa kidato cha 5 kwa sababu maalum.

No comments:

Pro

PropellerAds

LinkWithin

Soma na Hizi Pia Plugin for WordPress, Blogger...