Sunday, January 29, 2017

TAZAMA PICHA ZA ZOEZI LA UOKOAJI KWA WALIOFUKIWA NA KIFUSI GEITA.

Wachimbaji wote 15 waliofukiwa na kifusi katika mgodi wa RZ Geita wameokolewa asubuhi ya leo. Jambo Tz inawapa pole na kuwaombea wapone haraka ndugu wote waliokumbwa na ajali hii.

No comments:

Pro

PropellerAds

LinkWithin

Soma na Hizi Pia Plugin for WordPress, Blogger...