Tuesday, October 25, 2016

FORBES: RAIS MAGUFULI KUWANIA TUZO YA FORBES YA MTU MASHUHURI

Ikiwa ni mwaka mmoja tangu kufanyika kwa uchaguzi mkuu,Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli ameteuliwa kuwania tuzo la Forbes la mtu mashuhuri wa mwaka.

 Jarida hilo la biashara limemtambua rais Magufuli kwa umuhimu wake katika kuimarisha uchumi wa taifa. Wengine walioteuliwa kuwania tuzo hiyo ni pamoja na Benki ya Capitec nchini Afrika Kusini, Rais wa Mauritania, Mtetezi wa haki za umma nchini Afrika Kusini na raia wa Rwanda. 
Mwaka uliopita tuzo hilo lilichukuliwa na mfanyibiashara wa Tanzania Mohammed Dewiji.

Chanzo: BBC Swahili

No comments:

Pro

PropellerAds

LinkWithin

Soma na Hizi Pia Plugin for WordPress, Blogger...