Tuesday, May 07, 2013

KIKOSI CHA MIZINGA WAFUNIKA DAR CHID BENZI ADUNDWA NA PINA

 Mc mwenye VVU 
Nash Mc


 alifanya poa Usiku wa kikosi na mizinga 21


 Kala Pina







 Niki aliwakilisha
 Mwenye VVU
 One


 Mara Chid Benzi huyo kavamia steg ya kikosi, masikini ya mungu bila ya kufata utaratibu na kumnyanganya Mc Yakuza MIC nakuanza kuongea na watu walio kuwepo, kilicho endelea watu hawakuamini mana alionekana NIKI MBISHI akimuomba Chid ashuke juu ya Steg.




 Nasema sishuki wewe mtoto mdogo!
 Semaaaaaaa!!!! Chid watu Benzzzzz!!!! ndiyo ilivyo kua.
 Kwani hii show yanani? aliuliza. 
 Niki Mbishi akaanza kushangaa kwakua alijua kitakacho toke.
 Alipo zimiwa MIC akamgeukia 


DJ na kuanza kumfata ndio baraa likaanza.
 Kala Pina akasikika akisema asiye husika ashuke kwenye steg dah ilikua noma sana kipande cha mtu kimekasilika.
 Chid alichezea mikono na kwenda chini ya steg ndomana hauto muona tena kwenye picha hapo chini.








 Kikosi baada ya kuweka sawa wakaendelea kukamilisha mizinga yao 21 na kuonesha jinsigani walivyokua fit.
Kaa kusubiri kipande cha VIDEO kinacho muonesha Chid na Pina jinsi ilivyo kua then utaongea na marafiki zako juu yalio tokea NEW MAISHA CLUB DAR siyo ya kukosa

No comments:

Pro

PropellerAds

LinkWithin

Soma na Hizi Pia Plugin for WordPress, Blogger...