| MKURUGENZI MKUU WA MAMLAKA YA VIWANJA VYA NDEGE NCHINI BW. SULEIMAN SULEIMAN AKIZUNGUMZIA UGUMU WA KUBADILISHA JINA LA SONGWE KUITWA JAKAYA KIKWETE |
Thursday, April 04, 2013
MAMLAKA YA VIWANJA VYA NDEGE YATOA UFAFANUZI KUHUSU UWANJA WA SONGWE KUITWA JAKAYA KIKWETE
CHEK PICHA ZA NDOA YA COMEDIAN KUPA ILIYOFANYIKA WEEKEND ILIYOPITA


Weekend iliyopita comedian maarufu “Kupa” alifunga ndoa na mke wake
ambapo sherehe yao ilihudhuriwa na wasanii wenzake kibao kutoka
bongomovie unit. Cheki mpango mzima ulivyokuwa siku ya siku na wasanii
walivyopendeza kwenye party hiyo. Short list ya wasanii waliofika kwenye
party hiyo ambayo MC alikuwa Dr Cheni ni Ray,JB,Nisha,Irene
Uwoya,Wolper na wengine wengi.
WEMA SEPETU AMSUPRISE MARTIN KADINDA KWA BOOOOOOONGE LA KEKI NA MSHIKO WA MAANA
![]() |
| ahahahhha a this woman is something Else.. baada ya kukurukakala zangu Wema sepetu aliniita nyumbani kwake.... as soon as i got there nitwishwa boooooonge la keki... You i was like whaaat? |
![]() |
| hakuishia hapo.... mkononi kashika nini hapo?? usisonye sasa... hahha |
Subscribe to:
Comments (Atom)



