Monday, April 01, 2013

MAGAZETI YA LEO JUMATATU TAREHE 01.04.2013

.
.
.
.
.
.

MAKAHABA RAIA WA RWANDA MATATANI DODOMA

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEi1tiX0ExlorOYy5PlS5BybXxR-RE62-JNK58tvu27-tZ3kOtyvmVN2ONaQvBZkjXobq3njO7egLEHYvTvkYpM6sK3IVK9LvhxlzFp9Msw1t8IgR6jC29Sw0C4juffM53C24B3FetSfhoQ/s1600/changudoa+%281%29.jpg
WANAWAKE watatu raia wa Rwanda wanaosadikiwa kuendesha biashara ya ukahaba mjini Dodoma wamekamatwa na
kupewa siku tatu kuondoka nchini, huku wawili kati yao wakikutwa na vidonge vya kupunguza makali ya virusi ya Ukimwi (ARVs).

Sunday, March 31, 2013

ANGALIA PICHA YA KHANGA MOJA WAFUNIKA USIKU WA IJUMAA KUU NA MASHUJAA BAND

 Rapa wa bendi ya Mashujaa, Saulo John 'Fagason', akirap na kumchezesha mmoja wa wasanii wa kundi la Khanga moja, wakati walipofanya shoo ya pamoja kwenye Ukumbi wa Green Acres, Victoria usiku wa Ijumaa Kuu na kuwapagawisha vilivyo mashabiki wa bendi hiyo.
 Kiongozi wa bendi ya Mashujaa, Chalz Baba (wa pili kushoto) akiwaongoza waimbaji wa bendi hiyo kushambulia jukwaa wakati wa onyesho lililofanyika kwa pamoja na kundi la Khanga Moja, katika ukumbi wa Green Acrers uliopo Victoria jijini Dar es Salaam, usiku wa Ijumaa Kuu.
 Mnenguaji wa kundi la Khanga moja akionyesha umahiri wake wa 'Miuno Miuno, jukwaani
 Wanenguaji wa bendi hiyo ya Mashujaa, wakishambulia jukwaa wakaati wa onyesho hilo.
Mashambulizi yanaendelea jukwaani...
NA SUFIANI MAFOTO

Pro

PropellerAds

LinkWithin

Soma na Hizi Pia Plugin for WordPress, Blogger...