
Hii ni kwa wale wote wapenda kujichora miili
ya kwa inayojulikana kama tattoo

| Of course Steven Kanumba had so much fans
kwenye hii tasnia ya filamu za
Bongo and he could defenetely take ‘Bongomovie’ somewhere far na ndio
maana anakumbukwa kutokana na ku-inspire wengi. Taarifa zisizokuwa rasmi kitaani kwasasa ni kwamba kwenye maazimisho ya mwaka mmoja wa kifo cha the late steven kanumba mwaka huu huenda ikatengezwa sanamu yenye sura yake na kuwekwa kwenye mji wa kihistoria wa bagamoyo Mkoani Pwani. Muigizaji Stevene Kanumba alifariki mwezi April mwaka jana 2012 nyumbani kwake Sinza Vatkan dar es salaam akiwa na umri wa miaka 28 baada ya majibizano na mpenzi wake Elizabeth Michael ‘lulu’ ambae pia ni muigizaji. |
Wakati tume ya kuchunguza
matokeo mabaya ya kidato cha nne mwaka 2012 ikiendelea na kazi,
imebainika kuwa wanafunzi waliokata rufaa kutaka mitihani yao
isahihishwe upya wamefeli zaidi baada ya