Baba Askofu Methodius Kilaini
Askofu Msaidizi wa Jimbo la Bukoba, Methodius Kilaini amekiri kupokea Sh80.5 milioni kutoka kwa Mkurugenzi wa VIP Engeering, James Rugemalira akisema si mara yake kwa kwanza kupokea fedha kutoka kwa mfanyabiashara huyo kwa kuwa mara nyingi huwa anachangia kwa uwazi miradi ya jamii.
Askofu Msaidizi wa Jimbo la Bukoba, Methodius Kilaini amekiri kupokea Sh80.5 milioni kutoka kwa Mkurugenzi wa VIP Engeering, James Rugemalira akisema si mara yake kwa kwanza kupokea fedha kutoka kwa mfanyabiashara huyo kwa kuwa mara nyingi huwa anachangia kwa uwazi miradi ya jamii.
Askofu huyo alikuwa akizungumzia Ripoti ya Kamati
ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), iliyosomwa bungeni juzi ikimtaja
kuwa ni miongoni mwa viongozi wa dini na watu wengine waliopokea
mabilioni kutoka katika akaunti ya escrow.
Katika ripoti hiyo, Zitto aliwataja viongozi
wengine wa dini walioingiziwa fedha katika Benki ya Mkombozi
inayomilikiwa na Kanisa Katoliki kuwa ni Askofu Eusebius Nzigirwa
(Sh40.4 milioni) na Padri Alphonce Twimanye Simon (Sh40.4 milioni). Asante
kwa kutembelea blog hii na endelea kuwa nasi siku zote, kuwa wa kwanza
kupata habari zetu kwa ku-Like page yetu ya facebook kwa ku-click/ bofya
neno Jambo Tz