Tuesday, July 16, 2013
ALICHOKIANDIKA RAY KUHUSU MAREHEMU KANUMBA....!!!
Maswahiba wawili wakitoka safari marehemu Kanumba na Ray
MWIGIZAJI, mtayarishaji na muongozaji mahiri wa filamu Swahiliwood Vincent Kigosi ‘Ray the Greatest’ hivi karibuni aliangusha bonge la sherehe ya siku yake ya kuzaliwa na kuwakaribishwa rafiki zake na wadau wa filamu katika moja ya Hotel, siku hiyo pia aliweza kumkumbuka swahiba yake marehemu Kanumba na kuhisi uenda angekuwepo siku hiyo.
“Ni
siku ambayo nimesheherekea siku yangu ya kuzaliwa na ndugu zangu wa
karibu na wasanii wenzangu, ni siku ambayo nimekumbuka mambo mengi sana
katika maisha yangu, mara nyingi swahiba wangu marehemu Kanumba siku
kama ya leo ningekuwa naye katika sherehe kama hii, lakin ndio mambo ya
Mungu huwezi kulaumu kilichobaki ni kumuombea Mwenyezi Mungu ampumzishe
kwa amani Amen,” alisema The Greatest.
Katika sherehe hiyo iliyopambwa na vinywaji na malaji kibao
ilijumuisha wasanii nguli katika tasnia ya filamu kama Bonge la bwana,
JB, Maya, Odama, Chikoka na wasanii wengine kibao huku kukiwa na michezo
kadha wa kadhaa ni jambo jema kwa marafiki kukumbuka katika matukio
kama hayo.
CHANZO FILAMU CENTRAL
MUGABE ATOA KALI YA MWAKA, ATAKA MASHOGA NA WASAGAJI WAPEANE MIMBA LA SIVYO JELAAAA...!!!
Rais wa Zimbabwe, Robert Mugabe RAIS wa Zimbabwe, Robert Mugabe ametoa kali ya mwaka kwa kuwachimba mkwara Mashoga na Wasagaji kwamba wasipotiana mimba ni lazima atawafunga jela. Mubabe ametoa kali hiyo Ijumaa wakati akizindua kampeni za chama chake cha kwa ajili ya uchaguzi utakaofanyika mwezi. Isome taarifa nzima ya rais huyo mwenye umri mkubwa aliye madarakani duniani na ambaye wazungu wanambloo kwa misimamo yake isiyoyumba. |
DIAMOND AMBANA PREZZO PATAMU BAADA YA PREZZO KUMPIGIA SIMU NA KUOMBA MSAMAHA

Diamond Platnumz amesema Rapcellency Prezzo alimpigia simu hivi karibuni kumuomba msamaha kufuatia tweet za kumdiss alizoziandika wiki iliyopita, lakini hitmaker huyo wa Kesho amesema kama Prez ana nia ya kumuomba msamaha basi afanye hivyo hadharani kwenye mtandao wa Twitter.
Diamond
alikuwa akihojiwa mchana wa leo kwenye kipindi cha Mambo Mseto cha
Radio Citizen ya nchini Kenya kinachoendeshwa na mtangazaji William Tuva.
Msanii huyo anayeongoza kwa kulipwa zaidi kwenye show nchini, amesema alishangazwa na kitendo hicho cha Prezzo kumdis kutokana na majigambo aliyoyatoa kabla ya show yao kwenye Tamasha la Matumaini mwanzoni mwa mwezi huu.
Msanii huyo anayeongoza kwa kulipwa zaidi kwenye show nchini, amesema alishangazwa na kitendo hicho cha Prezzo kumdis kutokana na majigambo aliyoyatoa kabla ya show yao kwenye Tamasha la Matumaini mwanzoni mwa mwezi huu.
WALIOSAJILIWA NA WALIOTEMWA KWENYE LIGI KUU
Mabeki wa Toto African, Evarist Maganga (kushoto) na Peter
Mutabuzi wakimkaba mshambuliaji wa Azam Brian Umony. Beki Mutabuzi
amejiunga na Kagera Sugar kwa ajili ya msimu ujao wa ligi. Picha na
Michael Matemanga.
*********
Mosses
Oloya wa Uganda anayecheza soka la kulipwa nchini Vietnam anaweza akawa
ndiye mchezaji anayetikisa zaidi kwenye usajili wa soka la Bongo kwa
timu 14 zinazojiandaa kushiriki Ligi Kuu Bara msimu ujao.
Oloya
anamudu vyema kucheza nafasi ya winga wa kushoto pamoja na kulia kama
ilivyokuwa kwa mfungaji hatari wa Simba, Emmanuel Okwi aliyetua klabu ya
Etoile du Sahel ya Tunisia Januari mwaka huu, baada ya kupata mafanikio
makubwa akiwa na Simba.
Subscribe to:
Posts (Atom)