NDEGE ya kijeshi imelipuka na kuteketea nchini
Somalia baada ya kutua kwa dharura katika uwanja wa kimataifa wa ndege
mjini Mogadishu.
Inasemekana kuwa ndege hiyo ilikuwa ya jeshi la Ethiopia.
Kuna ripoti kuwa ndege ilikuwa imebeba zana za kivita.
Wafanyakazi katika uwanja huo wa ndege waliel
ezea kusikia milipuko kadhaa huku moto ukienea kwa ndege hiyo.