Amiri Jeshi Mkuu,Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimkabidhi cheti
cha kuhitimu mafunzo ya muda mfupi kwa viongozi mbunge wa viti maalum
Ester Bulaya leo katika kambi ya RUVU JKT.Rais Kikwete amefunga rasmi
mafunzi hayo leo yaliyofanyika kwa wiki tatu.(Picha na Freddy
Maro)
Wabunge Halima Mdee na Ester Bulaya pamoja na wenzao wakila kiapo wakati wa kuhitimu mafunzo ya muda mfupi yaliyofanyika katika kambi ya jeshi la Kujenga Taifa Ruvu JKT huko kibaha Mkoani Pwani leo.
No comments:
Post a Comment