
Mchezaji huyu wa kilabu ya Totenham amedai kuwa mamaake amekuwa akitumia uchawi kujaribu kumuharibia kazi yake.
Mshambuliaji
wa kilabu ya Totenham nchini Uingereza Emmanuel Adebayor amekosana na
mamaake kwa madai kwamba anatumia uchawi kumharibia kazi yake.
Duru
zimearifu kuwa mama huyo tayari ameondoka katika nyumba ya familia huku
dadaake Adebayor akiambia radio moja ya mjini Accra kwamba Adebayor
ndiye aliyemfukuza.Lakini mchezaji huyo wa zamani wa kilabu ya Arsenal anadai kwamba mamaake aliondoka mwenyewe na kwamba hawana mawasiliano yoyote kati yao kwa kuwa amekuwa akitumia uchawi kutaka kumuharibia kazi yake.
No comments:
Post a Comment