
Rais Barack Obama wa Marekani

Polisi wa Kimarekani waliokuwa mwiba mkali kwa ulinzi wa Obama

Machangudoa wakiwinda wazungu maeneo ya Oysterbay Karibu na Ubalozi wa Merikani

Machangudoa wakiwa kazini

Na Livingstone Mkoi
Katika hali ilisiyokuwa ya kawaida wakina dada maarufu wanaojihusisha na biashara ya kuuza miili yao
maarufu kwa majina ya machangudoa wameulalamikia ujio wa Rais Barack
Obama kwa kile kilichodaiwa haukuwa na faida yoyote kwa kukosa dili za
pesa.
Wakiongea
Xdeejayz kwenye baadhi ya sehemu wanazopatikana wakina dada hao walisema
kuwa” Tumesikitishwa sana na ujio wa Obama kwani tulikuwa tumejipanga
kupiga hela ndefu sana lakini patutu kwani watu wake tuliokuwa
tumewategemea kuwanasa walikuwa busy na usalama pia kukaa kipindi kifupi
kumechangia sisi kukosa mapato" Walisema wakina dada hao waliokutwa
maeneo ya Coco Beack
No comments:
Post a Comment