
Ikiwa
leo ni siku ya 42 ndani ya jumba la BBA,kama inavyokuwaga siku zote
kila jumapili huwa ni eviction day yaan lazma mshirik hata mmoja aage
mashindano
Mwanadada
Fatima kutoka Malawi ndiye aliyekuwa wa kwanza kuaga mashindano ya BBA
kwa usiku wa leo.Mshiriki mwenzake kutoka Malawi Natasha hakuamini
kilichotea na kuanza kulia huku Fatima akimwambia Natasha "No drama, no
drama. It's not about you, chill out "kasha akaagana na wenziwe na
kutoka nje ya jumba la BBA.
.Usiku wa leo ndania ya BBA ulipambwa na msanii mahiri kutoka TANZANIA aitwaye WAKAZI aliyeimba nyimbo zake WEEKEND na TOUCH.
No comments:
Post a Comment