Monday, March 04, 2013

WOMEN CELEBRATIONS 2013 YAFANA


 

Mama Tunu Pinda alikuwa mgeni wetu rasmi na hakuja peke yake aliongoza na wake wa viongozi wanaounda kundi la Millenium Women Group.
                                                     Mke wa waziri mkuu msaafu Mama Lowasa nae alikuwa mmoja wa wake wa viongozi waliokuwa nasi katika siku yetu #womencelebrations. walikuwa wengi kutoka Millenium Women Group wakiongozwa na mwenyekiti Mama Lukuvi. ntawaonesha wooote si mwajua raha ya 8020fashions blog ni picha...tufanye subrazinakujaaa  ::shukran kwenu Mama Zangu ,Great!!


 My Hawa alikuwa kwa Red opss GREEN carpet kukaribisha na kuongea na wageni akijua wameshona wapi na kupanda dondoo za siku yetu ta wanawake duniani. hapo alikuwa na Sabah Muchacho

No comments:

Pro

PropellerAds

LinkWithin

Soma na Hizi Pia Plugin for WordPress, Blogger...