Monday, March 04, 2013

SHEKH ISSA PONDA ANALO SHITAKA LA KUJIBU KATIKA KESI INAYOMKABILI


Baadhi ya wafuasi wa shekh Issa Ponda wakionyesha mikono huku wakisema takbir wakati shekh ponda akiwa katika gari la magereza mara baada ya kusomewa shitaka lake na kudai anayo kesi ya kujibu katika mahakama ya kisutu leo 


Askari magereza akimfungua pingu shekh Issa ponda katika mahakama ya kisutu  leo akisubiri kusomewa shitaka lake la kudaia kuvamia katika eneo la markazi changome bila ruhusa mwenyewe 


 Shekh Issa Ponda akisindikizwa na askari wa jeshi la magereza mara baada ya kusomewa shitaka lake leo 

No comments:

Pro

PropellerAds

LinkWithin

Soma na Hizi Pia Plugin for WordPress, Blogger...