Monday, March 04, 2013

Bondia Japhet Kaseba alipomsambaratisha Maneno katika mpambano wa kuwania Ubingwa wa Taifa.


Bondia Maneno Osward kushoto akipambana na Japhert Kaseba wakati wa mpambano wao wa ubingwa wa taifa uliofanyika Jumamosi katika ukumbi wa DDC Magomeni Kondoa. Kaseba alishinda kwa point mpambano huo.(picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com).
Bondia Japhet Kaseba (kushoto) akioneshana umwamba wa kutupiana masumbwi na Maneno Osward wakati wa mpambano wao wa kugombea ubingwa wa taifa Kaseba alishinda kwa point.
Bondia Japhet Kaseba (kushoto) akioneshana umwamba wa kutupiana masumbwi na Maneno Osward wakati wa mpambano wao wa kugombea ubingwa wa taifa Kaseba alishinda kwa point.
Bondia Japhet Kaseba akinyooshwa mkono juu na refarii Antoni Ruta baada ya kuibuka mshindi kwa kumgalagaza Maneno Osward.
Bondia Alphonce Mchumiatumbo (kushot)o akioneshgana uwezo wa kutupiana masumbwi na Joseph Marwa mpambano wa uzito wa juu uliofanika Jumamosi. Mchumiatumbo alishinda kwa K.O raundi ya sita.
Bondia Putile Gama (kushoto) akioneshana umwamba wa kutupiana masumbwi na Tom Kato kutoka Japani anaeishi mjini Bagamoyo. Kato alishinda kwa K.O raundi ya pili.
Bondia Tom Kato (kulia) raia wa Japan anayeishi mjini Bagamoyo akioneshana umwamba wa kutupiana masumbwi na Putile Gama Kato alishinda kwa K.O raundi ya pili.(picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com)

No comments:

Pro

PropellerAds

LinkWithin

Soma na Hizi Pia Plugin for WordPress, Blogger...