Monday, March 04, 2013

TAARIFA KUTOKA TANESCO

 Shirika la umeme nchini Tanesco limesema tatizo la ukatikaji wa umeme linaloikabili inchi hivi sasa linatokana na kutumia mitambo ya dharura kuzalisha umeme ambayo inatumia gharama kubwa kuiendesha, matengenezo makubwa yanayoendelea katika kituo cha Ubungo pamoja na uharibifu uliotokea katika mfumo wa Songosongo.

No comments:

Pro

PropellerAds

LinkWithin

Soma na Hizi Pia Plugin for WordPress, Blogger...