MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AMJULIA HALI MZEE KINGUNGE NYUMBANI KWAKE
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
akisalimiana na Mzee Kingunge Ngombale Mwiru, wakati alipofika kumjulia
hali nyumbani kwake Victoria jijini Dar es Salaam jana Machi 23, 2013
baada ya mzee Kingunge kulazwa Hospitali ya Muhimbili kwa uangalizi hivi
karibuni alipougua ghafla. Picha na OMR
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
akizungumza na Mzee Kingunge Ngombale Mwiru, wakati alipofika kumjulia
hali nyumbani kwake Victoria jijini Dar es Salaam jana Machi 23, 2013
baada ya mzee Kingunge kulazwa Hospitali ya Muhimbili kwa uangalizi hivi
karibuni alipougua ghafla. Kulia ni Mke wa Mzee Kingunge. Picha na OMR
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
akizungumza na Mzee Kingunge Ngombale Mwiru, wakati alipofika kumjulia
hali nyumbani kwake Victoria jijini Dar es Salaam jana Machi 23, 2013
baada ya mzee Kingunge kulazwa Hospitali ya Muhimbili kwa uangalizi hivi
karibuni alipougua ghafla. Picha na OMR
No comments:
Post a Comment