Saturday, June 01, 2013
Friday, May 31, 2013
DIAMOND AMPIGIA MAGOTI JOKATE NA KUMUOMBA MSAMAHA
MKALI
wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’, ameibuka na kuelezea kuhusu
uhusiano wake na mpenzi wake zilipendwa, Jokate Mwegelo ‘Kidoti’ ambaye
ni mwigizaji na modo moto wa kuotea mbali Tanzania.

Nasibu Abdul ‘Diamond’ akiwa na Jokate Mwegelo ‘Kidoti’.
Akizungumza
kwa uhakika kabisa, Diamond alisema inampasa amuombe radhi Jokate kwa
sababu katika uhusiano wao, Jokate hakuwahi kumkosea ila yeye ndiye
tatizo na chanzo cha kuachana kwao.
Diamond
alisema hayo kwenye mahojiano na Mtangazaji Zamaradi Mketema katika
Runinga ya Clouds kwenye Kipindi cha Take One, kilichorushwa juzi
Jumanne usiku kituoni hapo.
DIAMOND ANAFAFANUA
“Inanipasa
nimuombe radhi Jokate. Ni kweli nilimtenda vibaya wakati wa mapenzi
yetu. Hakukosea sana maana hakuwahi kufanya jambo lolote kinyume. Sijui
niseme nini lakini nataka kueleza wazi kuwa mimi ndiyo sababu ya
kuachana kwetu na ilitokea tu.

Diamond na Jokate wakicheza.
“Naamini
hilo jambo lilimuuma sana, maana nakumbuka wakati ule, baada ya mimi
kurudi kwa Wema (Sepetu), watu walimwandama sana kwa maneno na
alionekana msaliti lakini ukweli ni kwamba nilimpenda sana lakini ndiyo
hivyo, siwezi kufafanua zaidi.
“Kutoka
moyoni mwangu, namuomba msamaha Jokate, kama hatanisamehe nitaendelea
kumuomba mpaka naingia kaburini. Sina raha kabisa kutokana na jambo
hilo. Lazima niwe mkweli.”
JACQUELINE WOLPER
Diamond
alikwenda mbali zaidi na kuwazungumzia baadhi ya wasichana aliowahi
kutoka nao kimapenzi akiwemo mwigizaji Jacqueline Wolper ambaye alisema
ni mwanamke aliyempenda sana, ndiyo maana alimtungia wimbo wa Mawazo.
PENNY SASA
Kwa
upande wa mpenzi aliye naye sasa, Mtangazaji wa Runinga ya DTV, Penieli
Mungilwa ‘Penny’ alisema ni mwanamke mtulivu na sahihi kwake kwa sababu
anatambua majukumu yake kwake, pia anamheshimu.
“Huyu
kwa kweli ana karibu sifa zote alizonazo Wema ila uzuri wa Penny
ananiheshimu sana. Hafanyi mambo yake hadharani. Unajua wakati nikiwa na
Wema hata kama akifanya mambo yake siku mbili au tatu baadaye nayaona
kwenye magazeti, tofauti na Penny ambaye kwangu mimi naona ananiheshimu,
hata kama anafanya mambo yake ni kwa siri.”
BREAKING NEWZZZZZZZZZZZ...!!! NECTA YATANGAZA MATOKEO YA KIDATO CHA SITA (ACSEE 2013)
Matokeo ya kidato cha 6 yametangazwa. Ufaulu umeongezeka mara dufu zaidi ya wanafunzi 90% wamefaulu. Shule zilizoongoza ni
1. Marian Girls
2. Mzumbe
TANGAZO MUHIMU KWA UMMA KUTOKA BENKI KUU YA TANZANIA
Benki Kuu inapenda kuutahadharisha umma kuwa katika siku za karibuni kumekuwepo
na mtandao wa matapeli unaotumia TOVUTI ifuatayo www.jakayafoundation.wapka.mobi/index.html
Mtandao huo unajidai kuwa ni Taasisi ya Fedha ijulikanayo kwa jina la Jakaya foundation ambayoinamilikiwa na Benki Kuu chini ya utawala wa bodi kuu ya mikopo inayotolewa na serikali kupitia sekretariat ya Utumishi wa umma ofisi ya Rais.
na mtandao wa matapeli unaotumia TOVUTI ifuatayo www.jakayafoundation.wapka.mobi/index.html
Mtandao huo unajidai kuwa ni Taasisi ya Fedha ijulikanayo kwa jina la Jakaya foundation ambayoinamilikiwa na Benki Kuu chini ya utawala wa bodi kuu ya mikopo inayotolewa na serikali kupitia sekretariat ya Utumishi wa umma ofisi ya Rais.
Matapeli
hao wanaeleza kwamba Taasisi hiyo inatoa mikopo ndani ya masaa 24 kwa
Mtanzania yeyotemwenye umri kuanzia miaka 18 endapo atajiunga kwa kulip
a ada ya shilingi 37,000/=.BENKI KUU INAUARIFU UMMA KUWA HAIITAMBUI NA
WALA HAIHUSIANI KWA NAMNA YOYOTE ILE NA TAASISI INAYOELEZWA KWENYE
TOVUTI HIYO.
Kwa
taarifa hii, Benki Kuu inatoa tahadhari kwa Wananchi kutojihusisha na
Taasisi hiyo ya kitapeli kwa ajili ya kupata huduma za mikopo kama
ambavyo inadai.
IMETOLEWA NA
IDARA YA UHUSIANO NA ITIFAKI
BENKI KUU
YA TANZANIA
DAR ES SALAAM.
29/5/2013
IDARA YA UHUSIANO NA ITIFAKI
BENKI KUU
YA TANZANIA
DAR ES SALAAM.
29/5/2013
HAWA NDIO WADADA WALIO FUNGA NDOA YA JINSIA MOJA

Mashoga hao wakifungishwa ndoa kwenye ofisi ya msajili nchini Uingereza.
Wanawake wawili raia wa Pakistan wameweka historia kama Waislamu wa kwanza wa jinsia moja kufunga ndoa nchini Uingereza.
Rehana
Kausar, miaka 34, na Sobia Kamar, miaka 29,wameweka historia pale
walipofunga pingu za maisha katika sherehe iliyofanyika kwenye ofisi ya
msajili, kisha haraka wakaomba hifadhi ya kisiasa baada ya kuwa
wamefunga ndoa, wakidai kwamba maisha yao yatakuwa hatarini kama
wakirejea kwenye nchi yao ya asili.
Wakishuhudiwa
na wasimamizi wao na marafiki wawili, wanandoa hao walivalia mavazi
meupe asilia ya ndoa pale walipofunga ndoa mjini Leeds, West Yorkshire.
Wawili
hao, kutoka mikoa ya Lahore na Mirpur ya Pakistan, walisema walipokea
vitisho vya kuuawa kutoka kwa wapinzani nchini Pakistan - ambako
mahusiano ya jinsia moja ni kinyume cha sheria na kuchukuliwa ni
kusaliti Uislamu.
Na
tangu habari za ndoa yao mapema mwezi huu kuzagaa, wanandoa hao walidai
kupokea vitisho vya kuuawa hata kutoka nchini Uingereza
Kabla
ya zoezi hilo, hata msajili aliwashauri wawili hao kufikiria kwa makini
kuhusu uamuzi wao wa kufunga ndoa sababu ya mtazamo wa baadhi ya
Waislamu kuhusu mahusiano ya jinsia moja.
Thursday, May 30, 2013
Wema Afunguka na Kusema: "Sikuwahi kumsaliti Diamond na tulikuwa tunapendana sana"
Miss
Tanzania mwaka 2006 na muigizaji wa filamu Wema Sepetu amefunguka
kupitia jarida jipya la Mzuka kuwa katika uhusiano wake wote na Diamond
hakuwahi kumsaliti.
Wema ambaye yupo kwenye cover la jarida hilo linalotolewa na Bongo5,amefunguka kwa kusema kuwa yeye na Diamond walikuwa wakipendana sana.
“Maisha yangu yote tangia nimeanza mapenzi na Naseeb naweza kusema kuwa sikuwahi kuwa unfaithful. I used to be very faithful to him na tulikuwa tunapendana sana. With Naseeb nilikuwa nimesharidhika na maisha ambayo niko nayo,” amefunguka Wema.
Wema amefunguka pia kuhusu jinsi Diamond alivyomcheat na Jokate kwa kusema, “nadhani pia inacost mwanaume akishajua kwamba anakutawala in one way or another so labda ni shetani au ni ibilisi alimuingilia baada ya kutaka kuanza kushoot video ya Mawazo ndo rumors zilianza, nikawa siamini kwanza.”
Katika jarida hilo ambalo linauzwa kwa shilingi 1,500 tu, Wema amesimulia mengi tangia alipokutana na Diamond, jinsi alivyoumizwa na kitendo chake cha kumrekodi na kusambaza sauti kwenye radio, mapenzi yake na Kanumba, utajiri wake, jinsi anavyowapenda mbwa wake na mambo mengine exclusive.
Wema ambaye yupo kwenye cover la jarida hilo linalotolewa na Bongo5,amefunguka kwa kusema kuwa yeye na Diamond walikuwa wakipendana sana.
“Maisha yangu yote tangia nimeanza mapenzi na Naseeb naweza kusema kuwa sikuwahi kuwa unfaithful. I used to be very faithful to him na tulikuwa tunapendana sana. With Naseeb nilikuwa nimesharidhika na maisha ambayo niko nayo,” amefunguka Wema.
Wema amefunguka pia kuhusu jinsi Diamond alivyomcheat na Jokate kwa kusema, “nadhani pia inacost mwanaume akishajua kwamba anakutawala in one way or another so labda ni shetani au ni ibilisi alimuingilia baada ya kutaka kuanza kushoot video ya Mawazo ndo rumors zilianza, nikawa siamini kwanza.”
Katika jarida hilo ambalo linauzwa kwa shilingi 1,500 tu, Wema amesimulia mengi tangia alipokutana na Diamond, jinsi alivyoumizwa na kitendo chake cha kumrekodi na kusambaza sauti kwenye radio, mapenzi yake na Kanumba, utajiri wake, jinsi anavyowapenda mbwa wake na mambo mengine exclusive.
HII NDIO RIPOTI YA KUTEKWA, KUUMIZWA KIBANDA
.jpg)
TAARIFA YA UCHUGUZI JUU YA KUTEKWA NA KUUMIZWA KWA ABSALOM KIBANDA IMEWASILISHWA NYUMBANI HOTEL - TANGA MEI 30, 2013
UTANGULIZI:
Usiku wa Jumanne ya Machi 5 kuamkia Machi 6, 2013, Mhariri Mtendaji wa New Habari (2006) Ltd, ambaye pia Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), Absalom Kibanda alivamiwa na kujeruhiwa vibaya akiwa nje ya lango la kuingilia nyumbani kwake Mbezi Juu, Dar es Salaam.Tukio hilo liliishtua na kutikisa taifa kwa kiwango kikubwa si tu katika tasnia ya habari nchini, bali pia jamii kwa ujumla hasa baada ya aina ya utekaji, utesaji na usiri uliotumika katika kufanikisha uhalifu huu kufanana kwa karibu na tukio lilomkuta Mwenyekiti wa Jumuiya ya Madkatari Tanzania, Dk. Stephen Ulimboka lililotokea karibu miezi tisa kabla ya tukio la Kibanda yaani, usiku wa Juni 26, 2012.Ukiacha matukio hayo, miezi sita kabla ya Kibanda kutekwa na kuteswa Mwandishi Daudi Mwangosi, aliuawa akiwa mikononi mwa vyombo vya dola Septemba 2, 2012 huko Nyololo, Iringa akiwa kazini.Tukio la Kibanda limekuwa na sura ya mwendelezo wa mauaji au utesaji wa wanahabari, hasa ikitiliwa maanani kuwa Mwandishi Issa Ngumba (45) wa Radio Kwizera aliyekuwa anafanyia kazi zake katika Wilaya ya Kakonko, Kigoma, Januari mwaka huu, alipigwa risasi na kuuawa katika mazingira ya kutatanisha.Kama hiyo haitoshi, tukio la kutekwa na kudhuriwa kwa Kibanda limetokea mwezi mmoja tu baada ya Mwandishi wa Gazeti la Tanzania Daima, Shaaban Matutu kupigwa risasi na polisi akiwa nyumbani kwake Dar es Salaam kwa maelezo kuwa kimakosa polisi walidhani Matutu ni jambazi.
HOTUBA YA MSEMAJI MKUU WA KAMBI RASMI YA UPINZANI BUNGENI MHE. EZEKIAH DIBOGO WENJE (MB) ILIYOSABABISHA BUNGE KUHAIRISHWA LEO

HOTUBA
YA MSEMAJI MKUU WA KAMBI RASMI YA UPINZANI BUNGENI MHE. EZEKIAH DIBOGO
WENJE (MB) KUHUSU MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA WIZARA YA MAMBO YA
NJE NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA KWA MWAKA WA FEDHA 2013/2014
1.0 UTANGULIZI
Mheshimiwa
Spika, katika hotuba ya Msemaji Mkuu wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni
katika bajeti ya wizara hii mwaka 2012/13, Kambi Rasmi ya Upinzani
Bungeni inayoongozwa na CHADEMA ilibaini mapungufu mengi ya kiutendaji
na kiuwajibikaji katika wizara hii, na hivyo kuitaka Serikali kufanya
mambo yafuatayo ili kuboresha utendaji na ufanisi:
1. Kuziwezesha balozi zetu nje kwa kuzitengea fedha za kutosha ili ziweze kufanya kazi kwa ufanisi
2.
Kutoa idadi ya majengo ya balozi zetu nje (nyumba za mabalozi, nyumba
za maafisa wa balozi na ofisi za balozi) kwa mchanganuo wa idadi ya
nyumba katika nchi na kama nyumba hizo zina hati miliki au la.
3.
Kutoa taarifa ya namna kila ubalozi ulivyotekeleza sera ya Diplomasia
ya uchumi kwa kuzingatia kwamba balozi nyingi ziko hoi kifedha kiasi cha
kwamba waambata wa kiuchumi wanakosa fedha za kusafiri kutoka sehemu
moja hadi nyingine kwa ajili ya upelelezi wa masuala ya kiuchumi.
4.
Kulikarabati jengo la ubalozi wa Tanzania huko Msumbiji lililokuwa
limechakaa kwa kutofanyiwa ukarabati tangu 1975 ingawa jengo hilo
tulipewa bure na Serikali ya Msumbiji chini ya FRELIMO.
PICHA ZA MWAKILISHI WETU KATIKA BBA ALIVYOJIACHIA BAFUNI NA DILISH.
![]() |
| Dillish na Nando wakioga |
Jana
(May 29) ilikuwa ni usiku wa tatu katika jumba la big brother Afrika
huko Afrika Kusini mengi yanazidi kuonekana na sasa washiriki wengi
wanaanza kuonesha side B ya mioyo yao na kujaribu kupata muda wa kuwa
romantic na kuonesha upendo (Romantic time).
Wakati
washiriki wengine wakiendelea na mambo yao mtanzania Ammy Nando
alijiachia kwenye bafu moja na na kuoga na mrembo Dillish kutoka na
Namibia ambae ni mwanafunzi wa mwaka wa tatu akisomea Saikolojia.
Huenda
huu ukawa mwanzo wa mahusiano yao humo ndani kwa sababu moyo hauna
pazia na uruzi wa Dillish unaweza kumvuta to the limit model huyo wa
kitanzania.
![]() |
| Dillish |
Kwa
upande mwingine the boss lady toka Kenya Huddah Monroe alipata nafasi
ya kushare na Denzel mawili matatu hasa kuhusu mahusiano, wakati Denzel
akiwa ameonesha tangu mwanzo kudata kwa Huddah. Jana Huddah alifunguka
na kumwambia kuwa anahitaji mwanamme mwenye pesa na kwamba she is a gold
digger. Lakini second kadhaa baadae akafuta kauli yake na kumwambia
kuwa alikuwa anatania. Really?!
Wiki hii Benzel, Betty, Huddah, Selly na Natasha wako katika nafasi kukumbwa na Eviction.
MATOKEO YA KIDATO CHA NNE YAZIDI KUZUA UTATA
Matokeo
ya kidato cha nne yanayotarajiwa kutangazwa leo, yamezidi kuzua mapya
baada ya Baraza la Mitihani nchini (Necta) kulazimika kutumia kanuni
iliyofanya ufaulu upande kwa asilimia tisa kutoka 34 wa awali, lengo
likiwa ni kuepusha watahiniwa waliokuwa wamefaulu mwanzo kufeli.
Kanuni iliyokuwa imetumika mwanzo, ilifanya matokeo hayo yapande kwa asilimia kati ya 20 na 23, kiwango ambacho Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete aliwaeleza wabunge wa chama chake Mei 19, mwaka huu mjini Dodoma.
Kwa mujibu wa chanzo chetu cha habari kutoka ndani ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, wiki iliyopita maofisa wa wizara na taasisi zake wakiongozwa na Waziri Dk Shukuru Kawambwa, walijadili matokeo hayo.
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi,Dk Shukuru Kawambwa.
“Wakati yakijadili, ufaulu bado ulikuwa kulekule kwenye zaidi ya asilimia 54, kutokana na kanuni hiyo wanafunzi kama 2,500 waliokuwa wamefaulu kwa madaraja ya juu walikuwa washuke,” kilisema.
Kutokana na hali hiyo, kwa sasa ufaulu ni asilimia 43 jambo linalofanya matokeo hayo yawe chini ikilinganishwa na mwaka 2011.
“Kwa sasa hakuna mtu ambaye matokeo yake yameshuka, ila bwana kazi ipo siyo kama ambavyo watu wanaona kuna vurugu kweli,” kilisema chanzo hicho na kuongeza:
Kanuni iliyokuwa imetumika mwanzo, ilifanya matokeo hayo yapande kwa asilimia kati ya 20 na 23, kiwango ambacho Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete aliwaeleza wabunge wa chama chake Mei 19, mwaka huu mjini Dodoma.
Kwa mujibu wa chanzo chetu cha habari kutoka ndani ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, wiki iliyopita maofisa wa wizara na taasisi zake wakiongozwa na Waziri Dk Shukuru Kawambwa, walijadili matokeo hayo.

Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi,Dk Shukuru Kawambwa.
“Wakati yakijadili, ufaulu bado ulikuwa kulekule kwenye zaidi ya asilimia 54, kutokana na kanuni hiyo wanafunzi kama 2,500 waliokuwa wamefaulu kwa madaraja ya juu walikuwa washuke,” kilisema.
Kutokana na hali hiyo, kwa sasa ufaulu ni asilimia 43 jambo linalofanya matokeo hayo yawe chini ikilinganishwa na mwaka 2011.
Chanzo
chetu kilieleza kuwa, katika kikao hicho, kulikuwa na mvutano kuhusu
kanuni ipi itumike ili kuwaokoa wanafunzi hao alama zao zisishuke.
Baada
ya kumalizika kwa kikao hicho, Necta ilienda tena kuyafanyia kazi
matokeo hayo ambapo sasa ufaulu umeshuka kwa asilimia zaidi ya 20 hadi
kufikia asilimia tisa.
“Kwa sasa hakuna mtu ambaye matokeo yake yameshuka, ila bwana kazi ipo siyo kama ambavyo watu wanaona kuna vurugu kweli,” kilisema chanzo hicho na kuongeza:
“Ukijaribu
kuangalia, Necta wanasimamia kanuni, lakini wakati mwingine inabidi
mtu uangalie hali ilivyo, kwa sasa watu wanaangalia zaidi mwitikio wa
wananchi utakavyokuwa haya matokeo yakitangazwa badala ya kuangalia
vitu vya msingi,” kilisema chanzo hicho.
Producer Mswaki Aimba kama Ngwear Kumuenzi-Sikiliza Wimbo Huo Hapa...!!

>>>>> Click Hapa
ANGALIA WALICHOCHAT WEMA SEPETU NA NGWAIR SIKU CHACHE KABLA YA KIFO, NI KUUSU KAJALA KUONEKANA KATIKA VIDEO MPYA YA MAREHEMU NGWAIR
Katika
upekuzi wetu leo hii tuliweza kupata moja ya chat za mwisho mwisho ya
marehemu Albert Mangwea akiwa afrika ya kusini na mwanadada wa bongo
movies Wema sepetu. Katika maongezi hayo Ngwea alikuwa anapanga Kumtumia
mwadadada mwingine wa bongo movies Kajala Masanja kwenye video yake
mpya aliyokuwa anajiandaa kuifanya. Maongezi yao yalikuwa hivi.
Mangwea : kuku bandani..
Mangwea : Nataka Kajala…
Mangwea : Sikiza nyimbo then utanipa idea..
Mangwea : Nataka tukipiga hela kwa bro…
Mangwea : Tulipe na hela ya ticket ya Jux aje toka China tumalize huku kusini
Mangwea : #hugs
Wema Sepetu : Upo api?
Mangwea: Me nipo Pretoria now momo…
(Angalia screen shot ya maongezi hayo pichani)
Dah, inasikitisha sana. Maisha ya Msanii huyu yaliyokatika mapema. Mungu ailaze roho marehemu mahali pema peponi.
TCRA.... "SIMU ZISIZOSAJILIWA MWISHO KESHO"
Tamko
hilo lilitolewa jijiji Mbeya na Mkurugenzi wa Sheria na Leseni wa
mamlaka hiyo, Elizabeth Nziga wakati wa semina kuhusu utekelezaji wa
sheria mpya ya mawasiliano ya elektroniki na posta ya mwaka 2010 kwa
wadau mbalimbali.
Hiyo
ni awamu nyingine katika mipango ya TCRA, kwani awali ilikuwa na
kampeni za kuzima mitambo ya analogia nchi nzima na kuwataka wananchi
kuingia katika mfumo wa dijitali ulioanzia katika Mkoa wa Dar es Salaam
Desemba 31, mwaka jana.
Mikoa
mingine iliyoingia kwenye mfumo wa dijitali ni Arusha, Tanga, Dodoma,
Mbeya na Mwanza. Nziga alisema mamlaka hiyo inasisitiza kuwa hatua hiyo
ni utekelezaji wa makubaliano kati yake na watoa huduma za mawasilino ya
simu na kufikia usiku wa Juni Mosi, namba za simu ambazo hazikusajiliwa
zitakoma. Mmiliki wake hataweza kuitumia kupiga wala kupokea siku.
Alisema
kuwa ni muda mrefu umepita ambao ulitolewa kwa ajili ya kusajili namba
za simu lakini watu wengi hawakuweza kufanya hivyo kwa wakati na badala
yake wamekuwa wakitumia simu vibaya ikiwa ni pamoja na kufanya uhalifu
na kutoa lugha chafu.
Katika hotuba ya Mkuu wa Mkoa wa Mbeya,
Abbas Kandoro, ilisema vyombo vya mawasiliano vimesaidia kukua kwa sekta mbalimbali
Wednesday, May 29, 2013
Justin Bieber matatani tena,majirani wamtuhumu kuvuta bangi mbele ya watoto na kupiga kelele ovyo usiku wa manane

Siku chache baada ya kuondoa stress za mahusiano ya mapenzi juu ya Selena Gomez ‘The Beauty and beat singer’ Justin Bieber amekumbana na matatizo mengine ambayo yanaweza kuwa makubwa zaidi ya stress alizokuwa nazo, baada ya kuwa kero kwa majirani zake ambao wanajuta kukaa karibu na staa huyo kwa kuwa tabia zake zimeuharibu utulivu uliokuwepo katika ujirani huo huko Los Angeles.
Majirani hao wameiambia TMZ kuwa Bieber na marafiki zake wamekuwa wakisababisha kelele nyingi usiku wa manane wanaporudi kutoka viwanja na kuendesha gari lake aina ya Ferrari kwa fujo na wakati mwingine pikipiki yake, lakini pia hata wakifikika nyumbani huendeleza party huku wakiachia sauti juu na kuwanyima usingizi majirani hao.
Majirani hao walisema mida ya mchana Bieber hupita na gari lake taratibu mbele ya watoto wadogo huku akivuta marijuana a.k.a bangi waziwazi, na kwamba siku moja mwimbaji huyo alikuwa anaendesha akiwa na rafiki yake ambae pia alikuwa anavuta bangi.
Walisema hata bodi ya mmiliki wa nyumba hizo imewaambia majirani hao kuwa amepanga kuripoti polisi suala hilo kwa kuwa ni swala la kiharifu na linalovunja haki za msingi za majirani hao. Majirani hao pia wamesharipoti polisi tayari na polisi wamepanga kuzuia uendeshaji magari mida ya usiku sana katika maeneo hayo ili kuondoa kero hizo.
Mkasa huu uliompata wa kuchukiwa na majirani zake unaweza kufanana kidogo na ule wa Chris Brown kushtakiwa na majirani zake kwa kuwa alichora michoro iliyosemekana kuwatishia watoto wao. Lakini hii ya Bieber kuvuta marijuana mbele ya watoto wao itakuwa imetisha zaidi.
DAKTARI ATHIBITISHA KUWA MANGWEA KAFARIKI KWA KUJIOVERDOSE HEROIN NA CRACK
The
Medical report from Helen Joseph hospital,Dr Shirley Radcliffe
confirming that albert Mangwairdied from “alcohol toxicity” after
drinking toomuch,Over-exhaustion and drugs overdose....The inquest heard
that Albert 28, collapsed in the his friends home had been more
thanfive-times the legal S.A drink-drive limit with 416mgof alcohol per
100 millilitres of blood in hissystem....
Radcliffe
described thereasons for ICU admission included hypoxemia and one of
his friend found “two empty vodka bottles[found] on the Car” and he
hadbeen suffering from the eating disorder Bulimiafor several months
before his death and endless partying session with little or no
resting...sample taken from his stomach showed poly-drug cocktail and he
overdosed Heroin,Cocaine 'crack' and cannabis 0.08gms was also found in
his blood...and his death was caused by massive heart attack and
respiratory failure followed by sudden Heart stop...and end up dead
within seconds! R.I.P Mangwear!HISTORIA YA MAREHEMU NGWAIR ALIYOISEMA MWENYEWE KWENYE INTERVIEW YAKE YA MWISHO

JINA
LAKE HALISI NI ALBERT KENETH MANGWAIR,NI MTU WA RUVUMA
MNGONI...,,,,MNGONI,LAKINI ALIZALIWA MBEYA TAREHE 16 NOVEMBER,MWAKA
1982.YEYE NI MTOTO WA MWISHO KWAO,KWA BABA AKIWA MTOTO WA 10,KWA MAMA
AKIWA MTOTO WA 6.
NGWAIR
ASILI YAKE NI RUVUMA,YAANI MNGONI, ALIZALIWA MBEYA,A KIWA MIAKA 5
WALIHAMIA MOROGORO AKASOMA SHULE YA MSINGI BUNGO HADI DARASA LA 5,BABA
YAKE AKAPATA UHAMISHO AKAHAMIA DODOMA,SO AKAHAMA NA BABA YAKE AKAENDA
AKAMALIZA SHULE YA MSINGI MLIMWA DODOMA.BAAADAE MAZENGO SEC,THEN CHUO
CHA UFUNDI MAZENGO
(News) Staki kusikia nyimbo zote za marehemu ALBERT MANGWEAR alizorekodi BONGO REC zikipigwa CLOUDS FM kuanzia sasa.
Muda
mfupi uliopita nilipokea simu kutoka kwa Producer mkongwe hapa bongo
anajulikana kwa jina la P Funk Majani na kuniomba nipokee msg hii hapa
chini na kuwaomba watanzania walijue hili na baadae atatoa barua rasmi.
TAARIFA YA KIFAMILIA KUHUSU MAZISHI YA NGWEA NA JINSI MWILI HUO UTAKAVYOLETWA TANZANIA

Baba
Mdogo wa Marehemu Mzee Mangweha ambaye yuko Mbinga Songea kikazi,
amesema kuwa wamekubaliana na kaka yake mkubwa yaani baba mkubwa wa
Ngwair, David Mangweha ambaye naye yuko Songea kuwa watu watakutanika
Mbezi kwa msiba na pia mapokezi yatafanyika hapa Dar es salaam Mbezi
Beach.
Ingawa
bado kikao cha familia nzima hakijafanyika lakini baba huyo mdogo
amesema wanaweza kulazimika kuzika Morogoro sehemu ambayo baba yake
alizikwa.
Baba huyo mdogo alisema kuwa kesho ndo watarudi Dar es Salaam pamoja na kaka yake yaani baba mkubwa wa marehemu.
Kuhusu
mwili kuletwa hapa Tanzania kutoka Afrika Kusini baba mdogo amesema
kuwa mpaka sasa hawajajua jinsi gani mwili huo utafika hapa lakini kuna
ndugu zao ambao tayari washaanza kufanya taratibu za kuwasiliana na
ubalozi wa Afrika Kusini ili kujua ni jinsi gani mwili huo utafika hapa.
Kama kutakuwa na mabadiliko yeyote watakapowasili kesho baba mdogo na baba mkubwa baada ya kikao cha familia watatoa taarifa.
MAAJABU AGNESS JERALD ‘MASOGANGE’ ANASUMBULIWA NA TATIZO LA KUOTA NDOTO MBAYA USIKU NA KUAMKA KISHA KUTOKA NJE NA KUTIMUA MBIO.
VIDEO Queen wa Bongo Fleva, Agness Jerald ‘Masogange’
anasumbuliwa na tatizo la kuota ndoto mbaya usiku na kuamka kisha
kutoka nje na kutimua mbio, jambo ambalo kwa wengi linaweza kuonekana
kuwa ni maajabu.
Agness Jerald ‘Masogange’.
Habari kutoka kwa sosi wetu, zinasema kuwa katikati ya wiki iliyopita, Masogange akiwa ndotoni, aliamka na kufungua milango na geti la nje kisha kutimua mbio umbali mrefu akiwa na nguo za kulalia na miguuni hana viatu.
“Bahati nzuri ni kwamba, wakati anahangaika kufungua geti, rafiki yake aliyekuwa amelala naye alishtuka na kushangaa kukuta milango iko wazi. Alipotoka nje, akakuta Masogange ndiyo anamalizia kufungua geti kubwa na kuanza kukimbia hivyo akamkimbiza,” kilieleza chanzo chetu.
Akaongeza: “Lakini pia aliwapigia simu marafiki zake wengine na kuwajulisha juu ya tukio hilo, maana mwenyewe ilikuwa mara ya kwanza kumuona katika hali hiyo.”
MASOGANGE ANASEMAJE?
Risasi Mchanganyiko kama ilivyo kawaida yake ya kutokukurupuka, lilimsaka Masogange kwa simu na kufanikiwa ambapo alithibitisha tukio hilo na kufafanua kwamba liliwahi kumtesa kwa muda mrefu huko nyuma, likaisha.
“Ilikuwa hatari sana lakini namshukuru rafiki yangu kwa kunisaidia. Unajua hili tatizo liliwahi kunitesa sana wakati nikiwa mdogo lakini nilikwenda Mbeya nikapewa dawa tatizo likapotea kabisa hadi juzi liliporudi tena,” alisema.
Habari kutoka kwa sosi wetu, zinasema kuwa katikati ya wiki iliyopita, Masogange akiwa ndotoni, aliamka na kufungua milango na geti la nje kisha kutimua mbio umbali mrefu akiwa na nguo za kulalia na miguuni hana viatu.
“Bahati nzuri ni kwamba, wakati anahangaika kufungua geti, rafiki yake aliyekuwa amelala naye alishtuka na kushangaa kukuta milango iko wazi. Alipotoka nje, akakuta Masogange ndiyo anamalizia kufungua geti kubwa na kuanza kukimbia hivyo akamkimbiza,” kilieleza chanzo chetu.
Akaongeza: “Lakini pia aliwapigia simu marafiki zake wengine na kuwajulisha juu ya tukio hilo, maana mwenyewe ilikuwa mara ya kwanza kumuona katika hali hiyo.”
MASOGANGE ANASEMAJE?
Risasi Mchanganyiko kama ilivyo kawaida yake ya kutokukurupuka, lilimsaka Masogange kwa simu na kufanikiwa ambapo alithibitisha tukio hilo na kufafanua kwamba liliwahi kumtesa kwa muda mrefu huko nyuma, likaisha.
“Ilikuwa hatari sana lakini namshukuru rafiki yangu kwa kunisaidia. Unajua hili tatizo liliwahi kunitesa sana wakati nikiwa mdogo lakini nilikwenda Mbeya nikapewa dawa tatizo likapotea kabisa hadi juzi liliporudi tena,” alisema.
Habari na Global Publishers.
SIKILIZA NA DOWNLOAD NYIMBO YA MAOMBOLEZO KWAAJILI YA KIPENZI CHETU ALBERT MANGWEA...R.I.P BROTHER
SONG - R.I.P BROTHER NGWEA
ARTIST - MOZEH THOMAS & MIRROR RHYMES
OVERCLASSIC MUSIC/ EIZER
SIKILIZA HAPO CHINI...
Click hapa >>>>> R.I.P NGWEA
KAULI YA MAMA MZAZI WA NGWEA..... "MWANANGU ALINIAHIDI KUWA ATARUDI IJUMAA ILIYOPITA"
MWANA FA NA KALAPINA WAAHIRISHA SHOW ZAO ZA MWISHO WA WIKI KUTOKANA NA KIFO CHA MSANII MANGWEA...
Kutokana
na habari za kufariki kwa mwanamuziki Albert Mangwair, msanii ambaye
ni mmoja kati ya wana Hip Hop maarufu nchini, Mwanamuziki mwingine pia
wa Hip Hop Hamis Mwin'jumah, a.k.a MwanaFA(Pichani)nametangaza
kuahirisha show yake ya The Finest iliyokuwa ifanyike Ijumaa hii May
31, 2013.
MwanaFA
ameiambia Mdimuz Blog kwamba kuguswa kwake na taarifa hizi
kumesababisha ajisikie kuomboleza kwanza, kabla maisha mengine
hayajaendelea, kwa hiyo amewaomba radhi mashabiki, hasa wale waliokuwa
wameshanunua tiketi, na kuwaomba wawe na subira, tarehe y
Subscribe to:
Comments (Atom)
.jpg)


Prod
Mbezi aliyetengeneza wimbo huu anasema "hii ni ngoma ambayo chidy benzi
alilia kwanza studio wakati anarekodi,pili ameimba kwa hisia sana na
tatu mimi na yeye na ibra da hulser ndo tuliokesha studio kuonyesha
ishara ya kumuenzi kaka yetu"





