Raha kwa Barca: David Luiz amewaambia Chelsea kuwa anataka kutimkia Barcelona
Taarifa hizi ni kwa mujibu wa gazeti la Mundo Deportivo
Rapper Chidi Benz leo kwa mdomo wake mwenyewe amekiri kuwa alikuwa
akitumia madawa ya kulevya kwa miaka mingi. Chidi amefunguka leo kwenye
kipindi cha XXL cha Clouds FM.Alisema japo hakwenda Nairobi kwaajili ya rehab, mazingira
yalimlazimu kutafuta tiba ili aondokane na madhara ya madawa hayo.
Alieleza kuwa alipofika jijini Nairobi alikuwa akitakiwa kufanya show
nyingi na mwandaaji alimuuliza kama kuna kitu atahitaji ili awezE
kufanya show vizuri.





