
Rais Kikwete akiwa akiwa katika picha ya pamoja na Msanii Mkongwe wa Bongofleva,Gwamaka Kaihula a.k.a King Crazy G K.

Rais Kikwete akiwa akiwa katika picha ya pamoja na Msanii wa Filamu na Bongofleva,Hemed Suleiman.

Rais Kikwete akiwa katika picha ya kumbukumbu na mmoja wa Watangazaji machachari wa Clouds FM,TV,Mbwiga Mbwiguke.
![]() |
Rais Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na Wasanii wa Bongofleva,Ally Kiba na mdogo wake Abdull Kiba. |

Mke wa Rais,Mama Salma Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wasanii wa muziki wa Bongofleva mara baada ya kufturu Kutokakushoto,Snura,Keisha,Mwasiti,aliyechuchumaa ni Shilole,Dj Fetty ,Mwanahawa Abdul a.k.a Quee Doreen.

Wasanii wa
muziki wa kizazi kipya pichani shoto Mwasiti Almas na kulia Zuwena Mohamed
a.k.a Shilole wakiwa sambamba na Mtangazaji wa Clouds FM,Dj Fetty wakipakua
ftari kufuatia mualiko wa Rais Kikwete kwenye viwanja vya Ikulu,jijini Dar
jana.



Rais
Kikwete akisalimiana na msanii wa bongofleva,Lawrence Malima a.k.a Marlow,kulia
kwake ni Ally Kiba pamoja na Abdul Kiba na kushoto ni Mtangazaji wa East Africa
Radio,Samisango

Rais
Kikwete
akisalimiana na msanii wamuziki wa kizazi kipya,Chege Chigunda na kulia
kwake ni msanii wa bongofleva,Cassim Mganga,wakati wa kupata ftari jana
jioni
kwenye viwanja vya Ikulu jijini Dar.

Rais
Kikwete akiwasabahi baadhi ya wasanii wa muziki wa kizazi kipya,mara baada ya
kupata ftari mapema jana jioni kwenye viwanja vya Ikulu jijini Dar,Rais Kikwete
aliwaalika wasanii mbalimbali kupata ftari ya pamoja Ikulu jana jioni. Tembelea jambotz8.blogspot.com kila siku.

Wasanii mbali mbali na watangazaji walipata kualikwa ikulu jijini Dar,
kwa ajili ya kuftari na Mh Raisi pamoja na familia yake.mara baada ya
kuftari Mh Kikwete aliongea mawili matatu ikiwa ni pamoja na kuwapa moyo
wasanii kwa kuendeleza sanaa maana hata yeye anapenda kusikiliza miziki
yao

B12

Fetty



Jafarai na inspector Haroon
Qchief na Babu Tale



Mwasiti, Fetty na Shilole

Chege, Nyandu Tozi na Madee

Kassim Mganga

Adama Mchomvu

Ben Pol (wa pili kutoka kulia)

Linex (wa kwanza kulia)







Looking good MashAllah, TID, Jafarai na Z Anto


Mzee mkorofi, Suma Lee


hahahaa Mbwiga nae hakukosa

Shekh AY na Ali Kiba

Marlow na Sam Misago


Feruz na Fela

Lamar na P Funk

Quick kama sio yeye loooool








Hemedi Phd

Adama Juma

Dogo Asley


King Crazy GK


Shilole


