Thursday, November 26, 2015

DJIBOUTI, ZANZIBAR HEROES HALI TETE

Kikosi cha Zanzibar Heroes

Michuano ya CECAFA CHALENJI CUP 2015 imeendelea jana Jumatano kwa michezo minne ya hatua ya makundi. Harambe stars ya kenya ilitoka sare ya bao 1-1 na Burundi, wenyeji Ethiopia wameifunga somalia bao 2-0, Malawi imeifunga Djibout bao bao 3-0.

Sudani kusini ikitoshana nguvu na ndugu zao Sudan baada ya kutoka bila ya kufungana.
Michuano hiyo itaendelea tena kesho ijumaa kwa michezo kadhaa, Rwanda wataikabili somalia, Vibonde Zanzibar Heroes watakuwa viwanjani dhidi ya Kenya.

Sudan kusini watawakabili Malawi na Djibout itachuana na SudanMichuano hiyo itaendelea tena kesho ijumaa kwa michezo kadhaa, Rwanda wataikabili somalia, Vibonde Zanzibar Heroes watakuwa viwanjani dhidi ya Kenya.

Sudan kusini watawakabili Malawi na Djibout itachuana na Sudan. Michuano hiyo itaendelea tena kesho ijumaa kwa michezo kadhaa, Rwanda wataikabili somalia, Vibonde Zanzibar Heroes watakuwa viwanjani dhidi ya Kenya.

Sudan kusini watawakabili Malawi na Djibout itachuana na Sudan.

Wednesday, November 25, 2015

BARAZA LA MAWAZIRI LABADILISHWA...!!!


Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta

Rais wa Kenya amefanya mabadiliko katika Baraza lake la Mawaziri, na kuwaacha wote wizara zao zilizotajwa katika ufisadi. 

Rais Uhuru Kenyatta amechukua hatua hiyo siku moja tu baada ya kutangaza ufisadi kuwa tishio kwa usalama wa kitaifa.

Rais ameahidi kufanya mabadiliko zaidi katika afisi yake hivi karibuni. Katika hotuba ilioonyeshwa kwa njia ya Televisheni, Rais Uhuru Kenyatta ameongeza idadi ya wizara kutoka kumi na tisa hadi ishirini na kuongeza idara mpya chini ya wizara mbalimbali katika kile alichosema ni kusaidia mawaziri kutekeleza majukumu yao bora zaidi .

Pro

PropellerAds

LinkWithin

Soma na Hizi Pia Plugin for WordPress, Blogger...